KitaifaUncategorizedKikao cha Kamati Kuu MaalumBy Dickson Mushi - September 26, 20220140ShareFacebookTwitterWhatsAppLinkedin Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Kamati Kuu Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika tarehe 26 Septemba, 2022 Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.