Manchester City yapata ushindi dhidi ya Wolverhampton Wenderres

0
850

Ligi kuu ya England imeendelea hapo Jumatatu Januari 14  ambapo bingwa mtetezi MancManchester City yapata ushindi dhidi ya Wolverhampton Wenderreshester City inazidi kuifukuza kwa kasi Liverpool katika mbio za kuwania ubingwa wa ligi kuu .

Manchester city iliifunga timu ya  Wolverhampton Wenderres mabao matatu kwa bila kwenye mchezo uliochezwa katika uwanja wa a la Etihad.

Mabao mawili ya Gabriel Hesus katika daika ya 10 na 39 na bao lingine la  kujifunga la Conor Coady katika dakika ya 78 yakafikisha idadi ya mabao matatu .

Kwa matokeo hayo Manchester City imefikisha alama 53 kwenye msimamo wa ligi  kuu ya England ikiwa ni tofauti ya alama nne na vinara Liverpool wenye alama 57.