MichezoManara na zigo la lawama kwa WachezajiBy Hamis Hollela - January 5, 20200450ShareFacebookTwitterWhatsAppLinkedin Baada ya Sare ya magoli 2 kwa 2 dhidi ya Yanga , Msemaji wa Wekundu wa Msimbazi Simba Hajji Manara ameandika na kushushia zigo la lawama kwa wachezaji wa SimbaUkurasa wa Haji ManaraManara ametupia lawama zake hizo kwa wachezaji kupitia ukurasa wake wa Instagram