ZOEZI LA KUOPA NDEGE YA PRECISION

0
138

Zoezi la kuopoa kutoka ndani ya maji ndege ya Shirika la Ndege la Precision iliyopata ajali katika ziwa Victoria inaendelea kwa kushirikisha vikosi mbalimbali.

Ndege hiyo ilipata ajali hiyo tarehe 6 mwezi huu ikiwa katika safari zake za kawaida kutoka Dar es Salaam kwenda Bukoba, Kagera na kusababisha vifo 19 na majeruhi 24.