Yafahamu majukumu ya msingi ya JWTZ

0
177

• Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

• Ulinzi wa Mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

• Kufanya Mafunzo na Mazoezi ili kujiweka tayari Kivita wakati wote.

• Kufundisha umma shughuli za Ulinzi wa Taifa.

• Kushirikiana na Mamlaka za Kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoaji wakati wa maafa.

• Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).

• Kushiriki katika shughuli za Ulinzi wa Amani Kimataifa.

Chanzo: Tovuti ya JWTZ