Waziri Mkuu aongoza mazishi ya mbunge Atashasta Nditiye

0
326

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Ibada ya kumwombea aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe, Mhandisi Atashasta Nditiye kwenye Kanisa la Anglikan, Kibondo Mkoani Kigoma, Februari 15, 2021. (Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)


Waombolezaji wakimsikiliza  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza katika Ibada ya kumuombea aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe,  Mhandisi Atashasta Nditiye kwenye Kanisa la Anglikan, Kibondo, Februari 15, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho  kwa aliyekuwa mbunge wa Muhambwe,  Mhandisi Atashasta Nditiye  katika Ibada ya kumwombea marehemu iliyofanyika kwenye Kanisa la Anglikan Kibondo, Februari 15,2021. Kushoto ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitupa udongo kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe, Mhandisi  Atashasta Nditiye katika mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya familia, Kibondo mkoani Kigoma, Februari 15, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akitoa heshima baada kuweka shada la maua  kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe, Mhandisi  Atashasta Nditiye katika mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya familia, Kibondo mkoani Kigoma, Februari 15, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)