Wagombea waaswa kufanya kampeni za utu na heshima.

0
226

Wanasiasa wameaswa kufanya kampeni za utu na heshima ili kuendelea kulinda amani iliyopo nchini.

Hayo yamezungumzwa na Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam katika viwanja vya mnazi mmoja iliposwaliwa swala ya Eid.

Mbali na hilo Sheikh Alhad amesema dini ya uislam inafundisha amani, mshikamano na ushirikiano hivyo ni vema kupeana kushirikiana kwa ustawi wa amani na maendeleo nchini.