Usafiri reli ya kati kuboreshwa

0
2157

Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano Isack Kamwelwe amewahakikishia wakazi wa mikoa ambayo reli ya kati inapita, kuwa tatizo la usafiri wa njia hiyo linalotokana na uchakavu wa reli ni la muda kwa kuwa tayari serikali imetia saini mkataba wa ujenzi wa reli hiyo.

Waziri Kamwelwe ametoa kauli hiyo mjini Tabora wakati akijibu malalamiko ya wananchi kuhusu ubovu wa njia ya reli ya kati na malalamiko ya wafanyakazi kuhusu vitendea kazi na stahili zao.

Waziri Kamwelwe amemaliza ziara yake ya siku tatu mkoani Tabor