NAIBU WAZIRI MKUU BITEKO AKIWASILI BUNGENI

0
159

Picha mbalimbali zikimuonesha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko alipokuwa akiwasili Bungeni jijini Dodoma kushiriki kikao cha tano, mkutano wa 12, ikiwa ni mara ya kwanza baada ya kuteuliwa na kuapishwa na Rais Samia Suluhu Hassan hivi karibuni kushika wadhifa huo.

https://www.youtube.com/watch?v=NHlZ4Y0umlw