Msigwa Katibu Mkuu wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo

0
128

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Kabla ya uteuzi huo Msigwa alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali.

Nafasi iliyoachwa wazi ya Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali itatangazwa baadae.