Kivuko cha Mv Nyerere chazama

0
2153

Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati Bugorola na Ukara katika Kisiwa cha Ukerewe mkoa wa Mwanza kimezama.

Wakati tukio hilo linatokea kivuko hicho kilikua na abiria kadhaa pamoja na mizigo.

Tutaendelea kukuletea taarifa zaidi kuhusiana na tukio hilo kadri zitakavyopatikana.