Kamati Kuu ya CCM yakutana

0
1992

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Rais John Magufuli ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM.

Kikao hicho kimefanyika katika ofisi ndogo za CCM zilizopo mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam.

Waliohudhuria kikao hicho ni pamoja na Makamu wa Rais,- Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu, – Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Job Ndugai, Makamu Mwenyekiti wa CCM – Bara, – Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally.