Zaidi ya watoto 70 watekwa Cameroon

0
1963

Takribani watu 80 wengi wao wakiwa watoto wametekwa katika mji wa Bamenda Magharibi mwa Cameroon.

Kikundi cha watu wanaozungumza lugha la Kiingereza nchini Cameroon wamedai kuhusika na tukio hilo ambapo watoto hao walikuwa ni wanafunzi wa bweni.

Nchi ya Cameroon imekuwa na maandamano ya mara kwa mara wakimpinga Rais wa nchi hiyo Paul Biya.