KimataifaTrump na Kim wazungumzaBy TBC - June 13, 201802181ShareFacebookTwitterWhatsAppLinkedin Rais wa Marekani Donald Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un wamekutana katika mazungumzo ya kihistoria, ambapo ni mara ya kwanza kwa kiongozi wa serikali ya Marekani na wa Korea Kaskazini walioko madarakani kukutana uso kwa uso.