Pande mbili zinagombana nchini Yemen kupataishwa

0
1019

Mjumbe maalum wa umoja wa mataifa nchini Yemen, amerejea nchini humo kujaribu kuzisihi pande zinazohusika na mapigano nchini Yemen kutekeleza mkataba wa kusimamisha mapigano zilizotiliana saini nchini Sweden.

Kila upande nchini Yemen unaohusika na mapigano ya nchi hiyo, umekuwa ukuishutumu upande mwingine kuwa chanzo cha kukiuka mkataba wa amani ya kusimamisha mapigano nchini humo.

Wananchi ya Yemen wanataka uwanja wa ndege wa Sanaa ambao kwa sasa umefungwa kutokana na mapigano ufunguliwe.

Baadhi ya wananchi wa Yemen ambao ni wagonjwa na wanahitaji matibabu ya haraka nje ya nchi wanasema, wanashindwa kusafiri, kwenda kupata matibabu nje ya nchi kwa vile uwanja huo wa ndege bado umefungwa.