Marekani kupambana na IS

0
1248
(FILES) In this file photo taken on March 05, 2017 A convoy of US forces armoured vehicles drives near the village of Yalanli, on the western outskirts of the northern Syrian city of Manbij. - The United States is preparing to withdraw its troops from Syria, US media reported on December 19, 2018, a major move that throws into question America's role in the region. (Photo by DELIL SOULEIMAN / AFP)DELIL SOULEIMAN/AFP/Getty Images

Wizara ya Ulinzi ya Marekani imeridhia majeshi ya nchi hiyo yaliyokuwa nchini Syria kupambana na wapiganaji wa kikundi cha IS waliokuwa wakitishia usalama nchini humo kurejea nyumbani, baada ya kazi ya kuwatokomeza wapiganaji hao kumalizika.

Wakati majeshi ya Marekani yakianza kurejea nyumbani, majeshi ya serikali ya Uturuki yameanza kuelekea nchini Syria kupambana na waasi.