Kenyatta apunguza kodi ya mafuta

0
2384

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amekubali kupunguza kodi ya mafuta kwa asilimia nane.

Akihutubia taifa hilo Rais Kenyatta amesema amepunguza kodi hiyo kwa wafanyabiashara wote ili kuwawezesha kunufaika zaidi.

Takribani miaka miwili iliyopita Rais Kenyatta alipandisha kodi kwa wafanyabiashara wa mafuta nchini humo.