Mane na Cancelo kuondoka Bayern Munich

0
Sadio Mane na Joao Cancelo wanatarajiwa kuondoka Bayern Munich mwishoni mwa msimu huu, Sky Germany imeeleza.Bayern ina kipengele cha kumnunua Cancelo aliyetokea Manchester City kwa mkopo, lakini imeweka wazi kuwa haiko tayari kulipa TZS...

Kenya, Tanzania na Uganda zaomba kuwa wenyeji AFCON 2027

0
Kenya inatarajia kuungana na Tanzania na Uganda katika mchakato wa kuomba kuwa mwenyeji wa shindano la Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027.Akizungumza leo Ikulu jijini Nairobi, Rais wa Kenya, William Ruto amesema...

Arsenal ndio bas tena

0
Arsenal imepoteza matumaini ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya England msimu huu baada ya kukubali kipigo cha magoli 3-0 kutoka kwa Brighton & Hove Albion.Kufuatia kipigo hicho, Arsenal sasa inabaki nafasi ya pili...

Serikali yagharamia safari ya mashabiki 55 wa Yanga Afrika Kusini

0
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imesaidia kugharamia usafiri wa mashabiki 55 wa timu ya Yanga kwenda Afrika Kusini katika mchezo wa pili wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF).Hayo...

Onyango aandika barua kuomba kuondoka Simba

0
Beki wa Simba SC, Joash Onyango ameandika barua kuuomba uongozi wa klabu hiyo kuvunja mkataba wake uliobaki ili aweze kwenda kutafuta maisha ya soka nje ya miamba hiyo ya Msimbazi.Mkataba wa Onyango ambaye alijiunga...

Ahamed Ally: Wachezaji Simba wanadai bonus za michezo ya nyuma

0
Afisa Habari wa Simba, Ahmed Ally amesema ni kweli kuwa wachezaji wa timu hiyo wanadai posho zao za michezo ya nyuma, lakini hiyo siyo sababu ya kufungwa katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe...

TFF yatupilia mbali tena ombi la Fei Toto

0
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imetupilia mbali maombi ya Fei Toto ya kuvunja mkataba wake na Yanga SC.Kamati hiyo iliyokutana Mei 4 mwaka huu imesema kuwa...

Napoli yamaliza ukame wa miaka 33

0
Napoli imetwaa taji la Serie A nchini Italia kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 33, ambapo mara ya mwisho walikuwa mabingwa mwaka 1990, Hayati Diego Maradona akiwa bado ni mchezaji wa klabu hiyo.Timu...

Al-Hilal ya Saudia yatenga bilioni 940 kumsajili Messi

0
Klabu ya Al-Hilal ya nchini Saudi Arabia imetuma ofa ya kumsajili Lionel Messi ambayo inaelezwa kuwa kitita cha TZS Bilioni 942 kimetangwa kunasa saini ya raia huyo wa Argentina.Wakati huo huo Messi mwenye umri...