Mtanzania asajiliwa Shakhtar Donetsk inayoshiriki UEFA

0
Shakhtar Donetsk ya Ukraine imemsajili kwa mkopo kiungo wa kimataifa wa Tanzania, Novatus Dismas akitokea Zulte Waregem ya nchini Ubelgiji.Novatus alitambulika kwenye soka la kulipwa akiwa Azam FC ambapo baadaye alisajiliwa Maccabi ya nchini...

JKT Queens yatwaa ubingwa wa CECAFA

0
Timu ya JKT Queens kutoka Tanzania imeshinda ubingwa Ligi ya Mabingwa ya CECAFA kwa Wanawake baada ya kuifunga CBE Women ya Ethiopia kwa mikwaju ya penati.Miamba hiyo ilikwenda dakika 120 bila kufungana na hivyo...

Tanzania yaifuata Algeria na matumaini ya kufuzu AFCON

0
Timu ya Taifa ya mpira wa miguu kwa wanaume, Taifa Stars, imeondoka nchini leo kuelekea Tunis, Tunisia kwa Kambi ya kujiandaa na mchezo wa marudiano wa kuwania kufuzu AFCON dhidi ya Algeria.Mchezo huo utakaochezwa...

Pluijm ajiuzulu ukocha Singida BS

0
Kocha Mkuu wa Singida BS, Hans Van der Pluijm amejiuzulu nafasi hiyo baada ya kuitumikia tangu mwaka 2022.Kufuatia uamuzi huo walima alizeti hao wa Singida watakuwa chini ya Kocha Msaidizi, Mathias Lule mpaka pale...

Uwanja wa Amaan kukamilika Desemba

0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amesema maendeleo ya ukarabati wa uwanja wa Amaan umefikia hatua nzuri ya kuridhisha na utakamilika kwa wakati (Disemba mwaka huu).Rais Dkt.Mwinyi ameyasema...

Mason Greenwood kuondoka Manchester United

0
Klabu ya Manchester United imefikia makubaliano ya pande mbili ya kuachana na mshambuliaji Mason Greenwood, baada ya uchunguzi wa ndani wa miezi sita kuhusu tabia yake.Greenwood alikamatwa Januari 2022 kwa tuhuma zilizohusiana na habari...

Wachezaji wa kigeni Simba, Yanga na Singida hawajakidhi vigezo kushiriki Ngao ya Jamii

0
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema hadi sasa Azam FC ndio imewasilisha vibali vya wachezaji wa kigeni ambapo wataruhusiwa kucheza kwenye Ngao ya Jamii.Wakati Azam ikiwa imesajili wachezaji 10, TFF imesema kuwa...

Michelle Alozie, mtaalam wa biolojia aliyegeukia soka Nigeria

0
Michelle Chikwendu Alozie, mzaliwa wa Marekani mwenye asili ya Nigeria amekuwa gumzo kwa namna ambavyo ameendelea kuweka uzani (balance) kwenye ndoto yake ya kuwa mwanasoka na kufanyakazi yake.Alozie ambaye anacheza kama mlinzi kwenye timu...

Mtanzania ang’ara Marekani dhidi ya Miami ya Messi

0
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya Dallas inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani, Bernard Kamungo ameendelea kuwa gumzo kutokana na uwezo wake ambapo usiku wa kuamkia leo aliifungia timu yake goli katika...

JKT Queens kuiwakilisha Tanzania nchini Uganda

0
JKT Queens inatarajia kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Baraza la Mashirikisho ya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) yatakofanyika nchini Uganda kuanzia Agosti 12 hadi 30 mwaka huu.JKT Queens inaendelea na maandalizi...