Tanzania yaichapa Somalia 1-0
Tanzania imeibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Somalia katika mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu kwa fainali za michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza Ligi za ndani (CHAN) mwakani nchini...
Kiungo fundi, Mesut Ozil atangaza kustaafu soka
Moja ya viungo bora katika soka, Mesut Ozil ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 34.Ozil ambaye amezichezea Real Madrid na Arsenal ameshinda mataji tisa katika maisha yake ya soka, na pia ameichezea...
Mbeya City yaifunga Simba SC
Maafisa wa Jiji la Mbeya, Mbeya City wameondoka na alama tatu katika Uwanja wa Sokoine mkoani humo baada ya kuifunga Simba SC goli 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Goli pekee la ushindi...
Michezo ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho yasogezwa mbele
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesogeza mbele mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC) kati ya Singida BS na Yanga SC uliopangwa kuchezwa Mei 7 mwaka huu katika...
Kesi uchaguzi wa TFF yaunguruma Mahakama Kuu
Na Emmanuel SamwelUpande wa madai umeiomba Mahakama Kuu ya Dar es Salaam kusitishwa kwa shughuli zote zinazohusiana na Uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania mpaka pale kesi ya msingi namba 98 ya Mwaka...
FIFA kuongeza idadi ya wanawake wanaocheza Soka
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) linataka hadi ifikapo mwaka 2026 wanawake milioni sitini wawe wanacheza mpira wa miguu duniani kote.Katika kuhakikisha suala hilo linafanikiwa, FIFA imepanga kuanzisha mashindano mapya ya soka kwa wanawake ya...
Mechi za Leo Ligi Kuu England (EPL)
Ligi kuu ya England inaendelea Usiku wa Leo ambapo Leicester City watawakaribisha King Power Stadium West ham United, huku Tottenham wakicheza dhidi ya Norwich cityManchester united watawakaribisha Burnley katika dimba lao la Old...
Simba na AL Ahaly uso kwa uso
Wawakilishi pekee katika michuano ya
Kimataifa Ligi ya Mabingwa Afrika, - Simba leo wanashuka dimbani katika uwanja wa
Taifa jijini Dar es salaam kucheza mchezo wa marudiano na AL Ahaly ya Misri .Katika mchezo ambao Simba...
Barcelona tishio LA LIGA
Timu ya FC Barcelona
imeendelea kuwa tishio katika ligi soka daraja la kwanza nchini Hispania (LA
LIGA), baada ya kuitandika timu ya Girona
mabao mawili kwa bila.Mabao ya wachezaji Nelson Semedo katika dakika ya Tisa
na la Lionel...
Man City yaendelea kushika usukani Ligi Kuu
Ligi Kuu ya England imeendelea usiku wa Disemba Nne mwaka huu kwa kuchezwa michezo minne ambapo Manchester City wameendelea kushikilia usukani baada ya kuifunga timu ya Watford mabao mawili kwa moja.Mabao hayo mawili yamefungwa...