Tanzania na Marekani zatia saini mikataba ya trilioni 11
Rais Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa mikataba saba kati ya makampuni ya Marekani na Tanzania yenye lengo la kufanya biashara na uwekezaji mkubwa nchini.Mikataba iliyosainiwa ina thamani ya shilingi trilioni 11.7, na...