Biteko mgeni rasmi sherehe Bomba la Mafuta

0
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ni mgeni rasmi kwenye sherehe za uzinduzi wa kiwanda cha kuweka mifumo ya kupasha na kutunza joto kwenye Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika...

Majaliwa: Utoaji elimu bora ni kipaumbele cha nchi

0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa sekta ya elimu ni wakala muhimu wa mabadiliko katika jamii kiuchumi, kiteknolojia na kiutamaduni, mambo ambayo yanachochea maendeleo ya nchi na hivyo utoaji wa elimu bora kwa Watanzania...

Mradi wa SEQUIP kuboresha elimu

0
Serikali imedhamiria kuboresha sekta ya elimu kwa kuwekeza na kufanya ujenzi na ukarabati wa miundombinu kwenye shule na vyuo, huku ikiwajengea Walimu uwezo wa kiutendaji kupitia mafunzo yanayoendelea kutolewa kupitia mradi wa kuimarisha Shule...

Simba yapigwa faini kisa ushirikina

0
Simba SC imetozwa faini ya shilingi Milioni moja kwa kosa la mashabiki na walinzi wake wa uwanjani kupanga njama na kufanikisha azma ya kuingia uwanjani na kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina katika mchezo.Mashabiki...

VodaBima Kidijitali Ni Chap,Ni Nafuu!

0
𝙏𝙐𝙈𝙀𝙆𝙐𝘽𝘼𝙇𝙄: 𝗕𝗶𝗺𝗮 𝗞𝗶𝗱𝗶𝗴𝗶𝘁𝗮𝗹𝗶 inawezekana 💪🏾 Jipatie Bima yoyote ile iwe ya Afya, Chombo cha moto au maisha ukiwa popote na wakati wowote kupitia 𝗩𝗼𝗱𝗮𝗕𝗶𝗺𝗮. Tumia 𝗠-𝗣𝗲𝘀𝗮 𝗔𝗽𝗽 au piga 15000# >Huduma za Kifedha>VodaBima #Vodabimakidigitali...

Bunge lamkana Mbowe wabunge kuongezwa mishahara

0
Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekanusha madai yaliyotolewa na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe kwamba serikali imeongeza mishahara ya wabunge.Taarifa iliyotolewa na Kitengo...

Simiyu yanufaika Miaka Mitatu ya Rais Samia

0
Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imeendelea kuufungua Mkoa wa Simiyu kwa kutekeleza miradi mikubwa mitano ya kitaifa ya ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja.Meneja wa TANROADS mkoani Simiyu, Boniface Mkumbo ameyasema...

Samia aandika historia huduma za afya

0
Miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu Hassan ameweka historia kwenye sekta ya afya ambapo tangu uhuru Tanzania ilikuwa na mashine za MRI saba, lakini ndani ya miaka mitatu amenunua mashine sita na hivyo kuifanya...

Mti wa Dkt. Mpango Same

0
Leo ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani na Upandaji Miti Kitaifa, Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amepanda mti wa kumbukumbu katika Shule ya sekondari Same iliyopo mkoani Kilimanjaro ikiwa ni sehemu...

Miradi ya maji inachangia kukuza uchumi

0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema serikali inawekeza katika Sekta ya Maji ili kukidhi mahitaji ya wananchi, hatua ambayo ina mchango katika kukuza uchumi.Amesema hayo wakati akifungua Mkutano...