Makazi ya Nyerere kuwa kituo cha utalii

0
Serikali imedhamiria kuyafanya makazi ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere yaliyoko Mwitongo, Butiama mkoani Mara kuwa kituo cha utalii.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wakazi wa Kitongoji cha...

TBC yapanda miti Shule ya Msingi Vikunge, Kibaha

0
Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kwa kushirikiana na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) na Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani wamepanda miti zaidi ya 400 katika Shule ya Msingi Vikuge iliyopo Kata ya...

Adaiwa kuiba mtoto ili kuwaridhisha wakwe

0
Jeshi Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Mariam Renatus (22) kwa tuhuma za kuiba mtoto mwenye umri wa miezi 10 Miracle Ayoub eneo la Gongo la Mboto, Dar es Salaam na kwenda...

Ukarimu wa Watanzania umeokoa maisha yangu

0
Apelo Apeto (32) ni raia wa Togo na ni miongomi mwa watu waliokuwemo katika ajali iliyotokea Februari 25. 2024 katika eneo la Ngaramtoni mkoani Arushana kusababisha vifo vya watu 25 na wengine zaidi ya...

Majeruhi ajali ya Arusha kutibiwa bila malipo

0
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza majeruhi wote wa ajali iliyohusisha magari manne katika eneo la Ngaramtoni mkoani Arusha waliolazwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa ya...

Ajali Arusha yaua raia wa mataifa 7

0
Miongoni mwa watu waliofariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea Februari 24, 2024 mkoani Arusha wana uraia wa Mataifa ya Marekani, Afrika Kusini, Nigeria, Togo, Bukinafaso, Madagasca na Kenya.Katika ajali hiyo iliyotokea barabara ya...

Rais Samia aomboleza waliofariki kwenye ajali

0
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pole kwa ndugu, jamaa na marafiki waliopoteza wapendwa wao katika ajali ya gari iliyotokea mkoani Arusha na kusababisha vifo vya watu 25.Kupitia ukurasa wake wa Instagram pamoja...

Mkandarasi Kiwanja cha Ndege Songea kukosa kazi

0
Naibu Waziri ametoa uamuzi huo kutokana na mkandarasi huyo kushindwa kukamilisha jengo hilo kwa wakati. Kihenzile ametembelea na kukagua maboresho makubwa yaliyofanywa katika kiwanja hicho.“Serikali imewekeza shilingi bilioni 37 katika uwanja huu wa ndege,...

Mkandarasi barabara ya Mikumi-Ifakara akalia kuti kavu

0
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa miezi miwili kwa Mkandarasi wa Kampuni ya M/S Reynolds Construction Company kukamilisha ujenzi wa Barabara ya Mikumi-Kidatu-Ifakara, sehemu ya Kidatu-Ifakara ( Km 66.9) kwa kiwango cha lami pamoja...

Mjane wa Bilionea Msuya aachiwa huru

0
Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam imemwachia huru Miriam Mrita, mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani Arusha, Bilionea Erasto Msuya na mwenzake Revocatus Everist Muyella.Wawili hao wameachiwa huru baada ya upande...