Kutana na ‘mtu sanamu’ kutoka DRC

0
Mayanda Nzau, maarufu "Mutu Ekeko" (Mtu Sanamu), amejizolea umaarufu mkubwa katika Jiji la Kinshasa nchini Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) kutoka na uwezo wake wa kujigeuza kuwa kama sanamu.Kijana huyu mwenye umri wa...

Waziri Mkuu wa Peru ajiuzulu

0
Waziri Mkuu wa Peru, Alberto Otarola amejiuzulu baada ya tuhuma za kudaiwa kutumia ushawishi ili mpenzi wake apate kandarasi ya biashara na serikali kupitia sauti yake iliyorekodiwa kurushwa kwenye vyombo vya habari.Hata hivyo, Otarola...

‘Super Tuesday’ yaimarisha uwezekano wa Trump, Biden kuchuana tena

0
Rais Joe Biden wa Marekani na Rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump wamepata ushindi mkubwa katika takribani majimbo yote yaliyokuwa yakiendesha kura za maoni kwa ajili ya uteuzi wa wagombea urais wa...

Watoto wanakufa kwa njaa Gaza – WHO

0
Watoto wanakufa kutokana na njaa Kaskazini mwa Gaza, Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema.Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema ziara za shirika hilo mwishoni mwa wiki katika hospitali za Al-Awda na Kamal Adwan ambazo...

Kwa nini leo, ‘Super Tuesday’ ni muhimu kwa Wamarekani

0
LEO Machi 5 maarufu “Super Tuesday, ni siku muhimu kwa Marekani kwani inaamua nani anakwenda kuchuana na Rais Joe Biden katika mbio za urais wa Marakeni kupitia chama cha upinzani cha Republican.Ni kwamba, Donald...

Viwango vya ubora vya FIFA kwa timu za wanaume

0
Michuani ya AFCON iliyomalizika mapema mwezi huu imekuwa na mchango mkubwa kwa baadhi ya timu kupanda katika viwango vya FIFA kutokana na ubora wa timu hizo kwenye mashindano hayo.Nigeria ambayo ilifika hatua ya fainali...

EAC : Mchakato wa kupata noti ya pamoja haujakamilika

0
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imetaka kupuuzwa kwa taarifa iliyosambaa mitandaoni ikidai kuwa Jumuiya hiyo imetambulisha noti mpya ya pamojaitakayotumika katika nchi wanachama iitwayo SHEAFRA.EAC imesema mchakato wa kupata noti ya pamoja bado unaendelea...

112 wauawa Gaza wakisaka chakula cha msaada

0
Takribani Wapalestina 112 wameuawa na wengine 760 kujeruhiwa wakati wakiwa kwenye mchakato wa kusaka msaada hususani wa chakula katika ukanda wa Gaza.Umati wa watu ulijikusanya kwenye msafara wa malori yaliyokuwa kwenye barabara ya kusini-magharibi...

Mwimbaji kinara wa Morgan Heritage ‘Peetah’ afariki

0
Peter Anthony Morgan, mwimbaji kiongozi wa bendi maarufu ya reggae ya Morgan Heritage aliyoianzisha akiwa na ndugu zake wanne, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 46, familia yake imesema.Familia imewashukuru watu kwa upendo...

Ukarimu wa Watanzania umeokoa maisha yangu

0
Apelo Apeto (32) ni raia wa Togo na ni miongomi mwa watu waliokuwemo katika ajali iliyotokea Februari 25. 2024 katika eneo la Ngaramtoni mkoani Arushana kusababisha vifo vya watu 25 na wengine zaidi ya...