Huduma za posta kuboreshwa

0
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amesema, serikali itahakikisha huduma za posta nchini zinaendelea kuboreshwa na kukua zaidi.Amesema hatua hiyo itasaidia kuendana na mapinduzi ya teknolojia duniani na...

NSSF kukuza uhusiano na benki za NMB, CRDB na UBA

0
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa ya Hifadhi ya Jamii (NSSF) William Erio amekutana na kufanya mazungumzo na menejimenti za Taasisi Tatu za kibenki nchini ambazo ni NMB, CRDB na UBA.Lengo la mkutano huo...

Korosho iliyobanguliwa Tanzania kuuzwa Marekani

0
Serikali inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali yenye lengo la kuhakikisha asilimia 60 ya korosho zote zinazozalishwa nchini zinabanguliwa ufikapo msimu wa kilimo wa mwaka 2025/2026.Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde ameyasema hayo mara baada...

Ni mwanamke kwa mara ya kwanza

0
Kwa mara ya kwanza Umoja wa Mataifa umemchagua mwanamke kuwa Katibu Mkuu wa Muungano wa Kimataifa wa Mawasiliano (ITU).Doreen Bogdan Martin raia wa Marekani, amechaguliwa kumrithi Houlin Zhao ambaye aliitumikia nafasi...

Dhamira ya Serikali ni kuwaondoa kwenye Uvuvi wa kuwinda:Ulega

0
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi ya Zanzibar zinafanya jitihada kubwa ili kuwafanya wavuvi wawe na uhakika wa kupata...

MCB yaanzisha huduma ya mikopo ya dharura

0
Mkuu wa kitengo cha ukuzaji biashara na masoko wa benki ya MCB Valence Luteganya (wa tatu kushoto) akiongea na waandishi wa habari katika uzinduzi wa huduma mpya ya benki hiyo ya Mikopo ya dharula.Benki...

Wasafi FM yafungiwa kwa siku saba

0
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesitisha utoaji huduma za utangazaji kwa Wasafi FM kwa muda wa siku saba kuanzia Septemba 12 hadi Septemba 18 mwaka huu.Uamuzi huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TCRA,...

Probox marufuku kubeba abiria Kigoma

0
Serikali mkoani Kigoma imepiga marufuku magari madogo aina ya Probox maarufu kama michomoko na wish kufanya Kazi za kukusanya abiria kwenye vituo kama daladala.Akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo, Mkuu wa Mkoa wa...

Jumuiya ya Sharjah yakaribishwa kuwekeza Zanzibar

0
Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein ameikaribisha Jumuiya ya Wafanyabiashara na Wenye Viwanda ya Sharjah kuzichangamkia fursa za uwekezaji zilizopo Zanzibar.Dkt Shein ametoa kauli hiyo Ikulu mjini...