Jengo la PAPU kuzinduliwa Arusha

0
222

Rais Samia.Suluhu Hassan, Kesho Septemba 02, 2023 anatarajiwa kuzindua jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Aftika (PAPU), lililopo mkoani Arusha.

Mkuu wa mkoa wa Arusha, John Mongela amesema jengo hilo ambalo ni la kisasa litatoa huduma za kiushindani wa kisayansi na kiteknolojia.

Amewataka wakazi wa jiji la Arusha kujitokeza kwa wingi kushuhudia uzinduzi huo.