Rais Samia : Hili ni kundi langu

0
96

“Napenda kuwaambia kuwa hili ni kundi langu na ndio maana nimekuja kusikiliza wana yapi ya kusema, lakini pia kusikia CHADEMA wanasema nini kuhusiana na nchi yetu.”

“kwa hivi sasa Mwanamke wa Tanzania anathaminiwa na kupewa haki kama Mwanamke na ndio lengo la Serikali yetu.”

“Natoa pongezi kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jitihada na hatua zote zilizochukuliwa mpaka kufikia hapa na leo Mama yupo hapa na amekuwa Rais wa nchi.”