Moto wazuka katika jengo moja Kariakoo

0
2005

Sehemu ya jengo la ghorofa moja imeteketea kwa moto katika mtaa wa Aggrey na Livingstone eneo la Kariakoo jijini Dar Es Salaam mapema leo.

Taarifa za awali zinasema moto huo umeteketeza baadhi ya mali zilizokuwemo  katika jengo hilo.Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika.

Hakuna watu waliodhurika kutokana na moto huo.

Gloria Michael

13 Juni 2018