Uteuzi FCC

0
1926

Rais John Magufuli amemteua Profesa Humphrey Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Ushindani nchini (FCC).

Profesa Moshi ni Mhadhiri Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam.

Uteuzi wa Profesa Moshi unaanza leo Oktoba 30.