Vyombo vya habari Afrika na maombolezo ya kifo cha Mzee Mkapa

0
160

Vyombo mbalimbali vya habari ndani na nje ya nchi ikiwemo televisheni, redio, magazeti na vingine vingi vimejumuika na Taifa la Tanzania katika kuomboleza kifo cha Rais wa awamu ya tatu, Benjamin William Mkapa.