Akiongoza Misa ya Shukrani katika Kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenarali DAVID MSUGURI
Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Musoma Michael Msonganzila amesema siri pekee ya kuishi miaka mingi ni mazoezi na mpangilio bora wa chakula
Amesema Vijana wengi kwasasa hawana utaratibu wa kufanya mazoezi hali inayopelekea kuruhusu magonjwa mbalimbali katika miili yao hali inayosababisha kutokuishi kwa muda mrefu
Amewataka Vijana kuzingatia mazoezi na kufanya mpangilio mzuri ili waweze kuishi kwa muda mrefu kama ilivyotokea kwa Jenerali Msuguri