Singida FG yahofia kipigo kutoka kwa Yanga

0
Msemaji wa Singida Fountain Gate, Mussa Masanza amesema anahofia timu yake kupokea kipigo kutoka kwa Yanga kutokana na uwezo wa timu hiyo kwa sasa."Hakuna mtu anayetamani kukutana na Yanga… Tunasikitika kumkosa Thomas Ulimwengu, ila...

Mkataba wa kwanza na Yanga ulikuwa mbovu

0
“Mkataba wangu wa kwanza Yanga haukuwa mzuri nilikuwa hata siwezi kuondoka. Nilikuwa sijui Kiingereza, meneja wangu naye hajui Kiingereza anacheka cheka tu na viongozi, mkataba ulikuwa mgumu, mimi nimesaini tu nicheze nionekane," amesema Fiston...

Mayele : Nitukane mimi, sio watoto wangu

0
Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga SC, Fiston Mayele ameeleza kuchukizwa na kitendo cha watu wanaoweka jumbe za matusi kwenye ukurasa wake wa Instagram, na kwamba alikwazika zaidi siku walipofanya hivyo kwenye picha ya mwanaye aliyoichapisha.Katika...

Klabu ikidaiwa na mchezaji haishiriki ligi

0
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefungua ‘dirisha’ la klabu kuanza kuomba leseni kwa msimu wa 2024/2025 na kuweka wazi kwamba klabu yoyote itakayokuwa inadaiwa na mchezaji haitapata leseni kushiriki ligi.Taarifa imefafanua kwamba...

Chamazi haondoki mtu

0
Timu ya Azam FC imemsainisha mkataba mpya beki wake na naodha msaidizi, Lusajo Mwaikenda ambao atautumikia kwa muda wa miaka miwili mpaka 2027.

Mshindi Bunge Marathon kubeba Mil.5

0
Mwenyekiti wa Bunge Marathon ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Makete mkoani Njombe, Festo Sanga amesema washindi wa mbio ndefu (Bunge Marathon) ambao ni mshindi wa mbio za kilomita 21 ataibuka na kitita cha...

Mamelodi wamwinda Aziz Ki, mwenyewe afunguka

0
Miamba ya soka ya Afrika Kusini, Mamelodi Sundowns wanahusishwa kuiwinda saini ya kiungo wa Yanga SC na raia wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki.Masandawana wanaonekana kuvutiwa na kiwango cha Ki, hasa katika michezo ya...

Ihefu sasa kuitwa Singida Black Stars SC

0
Timu ya soka ya Ihefu iliyohamisha makazi yake kutoka Mbarali, Mbeya na kwenda Singida, imebadili jina lake kutoka Ihefu Sports Club na sasa inatambulika kama Singida Black Stars Sports Club.Taarifa iliyotolewa na uongozi wa...

Aliyewahi kuwa kocha wa Simba afariki dunia

0
Aliyewahi kuwa kocha wa viungo wa Simba SC, Adel Zrane amefariki duniani.Zrane hadi umauti unamkuta alikuwa kocha wa viungo wa APR FC nchini Rwanda.Taarifa ya APR FC imeeleza kuwa chanzo cha kifo chake bado...

Pacome, Aucho, Yao hatarini kuwakosa Masandawana

0
"Natarajia kuwakosa baadhi ya wachezaji wangu nyota. Siwezi kuhatarisha afya za wachezaji ambao bado hawana utimamu wa kimwili. Lakini kuna uwezekano mkubwa wa kukosa wachezaji watatu mpaka wanne," amesema Kocha wa Yanga SC, Miguel...