Wanajeshi 50,000 wa Urusi wathibitika kuuawa

0
BBC Urusi, chombo huru cha Habari cha Mediazona na watu waliojitolea wamekuwa wakihesabu idadi ya wanajeshi wa Urusi waliouawa vitani tangu Februari 2022.Makaburi mapya pia yamesaidia kutoa majina ya askari wengi. Timu zetu pia...

Israel yaangusha ndege 300 za Iran

0
Marekani imewapongeza askari wake ambao wametoa msaada kwa vikosi vya Israel kuangusha takribani ndege zote 300 zisizo na rubani na makombora yaliyorushwa na Iran leo Aprili 14, 2024.Pongezi hizo zimetolewa na Rais Joe Biden...

Bilionea Vietnam ahukumiwa kifo kutapeli matrilioni

0
Ilikuwa ni kesi iliyovutia watu wengi Vietnam kutokana na kuhusisha moja ya utapeli mkubwa zaidi dhidi ya benki ambao pengine ni mkubwa kuwahi kutokea duniani.Ndani ya ukumbi wa mahakama ya wazi iliyojengwa enzi ya...

Miaka 30 mauaji ya Kimbari

0
Leo ni maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 30 ya Mauaji ya Kimbari ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi na Wahutu wenye msimamo wa wastani nchini Rwanda. Kwa maadhimisho haya Wanyarwanda wanampa kongole askari wa...

Alama 11 kutambua noti halali

0
Alama iliyofichika kwenye noti inayoonesha sura ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na thamani ya noti ya shilingi 10,000.Alama za vipande vipande zenye kuonesha thamani ya noti ya shilingi 10,000 inapomulikwa kwenye mwanga ambapo tarakimu...

Trump awaita wahamiaji ‘wanyama’

0
Donald Trump amewaita wahamiaji wanaoingia nchini Marekani bila vibali kuwa ni "wanyama" na akasisitiza kwamba "si wanadamu" wakati akitoa hotuba huko Michigan jana.Mbali na maneno yake hayo yaliyochukuliwa kuwa udhalilishaji kwa wanadamu wenzake, mgombea...

Unafahamu nini kuhusu Jumamosi Kuu?

0
Jumamosi Kuu au kwa majina mengine Jumamosi Takatifu, kwa waumini wa dini ya Kikristo ni siku moja kabla ya Jumapili ya Pasaka ambayo ni siku ya mwisho ya Wiki Takatifu.Siku hii ni siku muhimu...

Muhoozi aahidi kuimarisha jeshi la Uganda

0
Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameahidi kupambana na ufisadi ndani ya jeshi baada ya kuchukua usukani kama kamanda mkuu wa juu wa jeshi hilo.Museveni mwenye umri wa miaka 79, ambaye ameiongoza Uganda...

Kimbunga chaua 11 Madagascar

0
Ofisi ya kitaifa ya kupambana na majanga nchini Madagascar imesema leo Machi 28, 2024, kimbunga Gamane kilichokuwa kimekadiriwa kukivuka kisiwa hicho cha Madagascar kilicho katika Bahari ya Hindi, kilibadilisha mwelekeo na kupiga katika eneo...

Ubaguzi wa rangi wamliza Vinicius

0
Winga wa Brazil na Real Madrid,Vinicius Jr (23) amejikuta akitokwa machozi wakati akijibu swali kuhusu ubaguzi wa rangi anaokumbana nao katika maisha yake ya soka nchini Hispania.Vinicius amesema mara nyingi huingia uwanjani akijikita zaidi...